Katibu mkuu wa shirikisho la raidha Tanzania (RT) Wilhelm Gidabuday ameeleza kuwa jumla ya wanariadha 28 walikuwa kambini kujiandaa kwa mashindano hayo, na wako tayari na wana ari kubwa ya kurejea na medali.
Msafara wa timu hiyo unaundwa na watu 20, wachezaji 16 na viongozi 4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |