Beki huyo amekosekana kwa muda mrefu kidogo kwenye timu hiyo lakini sasa anaaminika kuwa anaweza kuisaidia timu hiyo katika kipindi hiki cha kuwania ubingwa wa ligi hiyo.
Hata hivyo, bado kocha wa Liverpool, Juggen Klopp anaweza asimtumie mchezaji huyo kwenye mchezo ujao kwa kuwa alikuwa nje kwa muda mrefu kuanzia Desemba 5, mwaka jana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |