Idadi ya vifo vya watu waliouawa kwenye mlipuko wa gari mjini Mogadishu, Somalia imeongezeka hadi 15 huku wengine 17 wakijeruhiwa. Mlipuko huo uliosababishwa na gari moja lililokuwa na mabomu dhidi mgahawa maarufu katika barabara ya Makka Al-Mukarrama, pia umesababisha uharibu wa majengo ya karibu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |