Timu ya Yanga ya Tanzania imetinga nusu fainali ya kombe la shirkisho (FA) kwa kuichapa Alliance ya Mwanza kwa penalty 4-3 mchezo uliopigwa Jumamosi uwanja waCCM Kirumba jijini Mwanza.
Kipa wa Yanga Klaus Kindoki alikuwa shujaa wa mchezo baada ya kupangua mikwaju miwili ya penalti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |