Mashindano hayo yalishirikisha wachezaji zaidi ya 60 kutoka Klabu ya Arusha Gymkhana, Morogoro Gymkhana, Dar es Salaam Gymkhana na Lugalo.
Naye mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanawake Angel Eaton alishinda upande wa wanawake kwa kupiga mikwaju ya neti 35 akifuatiwa na chipukizi Stella Mbunda aliyepata neti 39.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |