Hadi kipyenga cha mwisho kinapulizwa, Arsenal waliibuka na ushindi wa bao 2-0. Mabao yaliyofungwa na Aaron Ramsey na Alexandre Lacazette yamewawezesha washika bunduki hao kupaa hadi nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo ya EPL.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |