Ligi kuu ya Uingereza imefikia patamu, kila timu ikijitahidi kufanya vizuri ili kuwa katika nafasi nzuri zaidi ya kunyakua ubingwa, jana zilipigwa mechi mbili, Watford imeifumua Fulham kwa mabao 4-1, nao Manchester United imekubali kipigo toka kwa Wolverhampton Wanderers cha bao 2-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |