• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Putin na Erdogan wajadili usafirishaji wa mifumo ya makombora aina ya S-400 na uzalishaji wa silaha zenye teknolojia ya juu

    (GMT+08:00) 2019-04-09 09:21:50

    Rais Vladimir Putin wa Russia na mwenzake wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan wamekubaliana kutekeleza makubaliano yao ya kusafirisha mifumo ya makombora ya Russia aina ya S-400 kwa Uturuki kama ilivyopangwa na pia nchi zao zitaanza uzalishaji wa vifaa vya kijeshi vyenye teknolojia ya hali ya juu. Uturuki ni nchi mwanachama wa kwanza wa Shirika la Kujihami la Nchi za Magharibi NATO kununua mifumo ya makombora hayo, hatua iliyoamsha hasira ya Marekani. Mifumo hiyo ya ulinzi wa anga ni ya kisasa zaidi ya Russia na inaweza kubeba aina tatu za makombora.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako