Afisa mkuu wa mipango ya maendeleo wa Marriott kanda ya Afrika na Mashariki ya kati Jerome Briet amesema wanachukua hatua hiyo kufuatia mahitaji yanayoongezeka.
Pia wametangaza kuwa ifikapo mwaka 2023 wanapamnga kuwa na hoteli 100 mpya katika uwekezaji utakaogharimu dola bilioni 8.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |