Sasa bei mpya itakuwa shilingi 55 ikiwa ni mara ya kwanza kufikia hapo ndani ya kipindi cha miaka 2.
Mkurungezi wa kampuni ya maziwa ya KCC Nixon Sigey amesema hali huenda ikabadilika mwezi ujao iwapo kutanyesha.
Alisema kiangazi cha muda mrefu kimesababisha kupunuza kwa uzalishaji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |