Mchezo mwingine ulikuwa baina ya Tottenham Hotspur ilipoikaribisha Manchester City katika uwanja wao mpya wenye uwezo wa kubeba mashabiki 62,000 uliopo kaskazini mwa jiji la London.
Hadi kipenga cha mwisho cha mwamuzi kikipulizwa, Tottenham waliibuka na ushindi wa goli 1-0.
Ligi hiyo inaendelea leo kwa mechi kati ya Barcelona itakapovaana na Manchester United uwanja wa Old Trafford, huku Ajax itakutana na bibi kizee wa Turin Juventus.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |