Taakwimu kutoka mamlaka ya bandari nchini Kenya zinaonyesha kuwa kulikuwa na ongezeko la shehena za Uganda la asilimia 10 kutoka tani milioni 8.6 za mwaka 2017 hadi tani milioni 9.6.
Kwa wastani Uganda huuza nje tani 60,00 za chai moja kwa moja kupitia mnada wa Mombasa.
Mauzo ya bidhaa hiyo mwaka 2017 yalifikia dola milioni 79.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |