Afisa wa halmashauri hiyo Anicet Muriro, amesema pia mbali na nembo hiyo mpya kwa jina S-mark, serikali itatumia teknolojia ili kukamata bidhaa gushi.
Amesema hatua hiyo itasaidia bidhaa za Rwanda kwenye soko la ndani na pia lile la kimataifa.
Rwanda imekuwa na kampeni ya tangu mwaka 2015 ya kuhimiza utengenezaji wa ndani wa bidhaa iki kukuza viwanda.
Tangu mwaka huo mauzo ya nje yameongezeka kwa asilimia 69 na kuiletea nchi hiyo dola milioni 944.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |