Ameyasema hayo wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya ofisi ya Waziri Mkuu na Mfuko wa Bunge mwaka 2019/2020
Amesema tangu julai Mosi, 2016 hadi 30 Machi mwaka huu vijiji 1,969 vilipata umeme na ukichanganya na vijiji ambavyo vilikuwa vimeshapatiwa umeme kabla ya Juni mwaka 2016 inakuwa jumla ya 6,365 kati ya vijiji 12,268.
Amesema hiyo ni sawa na asilimia 52 ya vijiji vyote kwa mujibu wa takwimu za Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |