Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Dk. David Langat, alisema jijini Nairobi, Kenya, kuwa chai ni zao mkakati katika shughuli za kampuni yao na kwamba kampuni hiyo imedhamiria kushirikiana kwa karibu na serikali na wakulima kukuza ulimaji na biashara ya chai nchini Tanzania.
Alisema nia ya kampuni yao ni kuhakikisha mnada wa chai kutoka Tanzania, Rwanda, Burundi na Malawi unafanyika Dar es Salaam na chai hiyo inasafirishwa nje kupitia Bandari ya Dar es Salaam.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |