Mabao ya Oserian yalipachikwa kimiani na Rebecca Akinyi na Margaret Omweri. Matokeo mengine, GASPO Women wameichapa Makolanders bao 3-2, Wadadia LG imelazimishwa sare ya 1-1 na Kayole Starlets, nayo Trans-Nzoia Falcons imeendelea kutembeza kipigo na kuvuna alama tatu muhimu baada ya kuichapa Mathare United ya wanawake 6-2.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |