• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Ligi kuu ya soka ya wanawake- Thika Queens njia panda

    (GMT+08:00) 2019-04-11 08:47:20
    Mabingwa wa zamani katika ligi kuu ya soka la wanawake ya Kenya (KWPL), Thika Queens wameona giza baada ya kupigwa kwa mabao 2-0 na Oserian Ladies kwenye mechi iliyochezewa uwanjani Oserian mjini humo.

    Mabao ya Oserian yalipachikwa kimiani na Rebecca Akinyi na Margaret Omweri. Matokeo mengine, GASPO Women wameichapa Makolanders bao 3-2, Wadadia LG imelazimishwa sare ya 1-1 na Kayole Starlets, nayo Trans-Nzoia Falcons imeendelea kutembeza kipigo na kuvuna alama tatu muhimu baada ya kuichapa Mathare United ya wanawake 6-2.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako