Kuelekea michuano hiyo Karia amemuomba mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kupitia kamati yake ya kuhamasisha Taifa Stars ishinde, kuhamishia nguvu kwa kuisapoti Serengeti Boys ishinde michuano hiyo ili iweze kufuzu kucheza fainali za Kombe la dunia la vijana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |