Batista alitangaza uamuzi huo katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram ikiwa ni dakika chache tangu atoke ulingoni kupigana na kushindwa pambano lake dhidi ya Triple H, Batista amestaafu chini ya WWE akiwa amehudumu kwenye mchezo huo kwa miaka 20.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |