Washika bunduki hao watakuwa nyumbani kuikabili Napoli ukiwa ni mchezo muhimu sana kwa Arsenal kupata matokeo mazuri.
Chelsea wao watakuwa wageni wa Slavia Prague kwenye mchezo ambao watahitajika kushinda licha ya kuwa katika kiwango kizuri katika michuano hii. Slavia licha ya kutopewa nafasi sana ya kushinda, lakini wameonyesha wana kila uwezo wa kufanya vizuri.
Michezo mingine ni kati ya Benfica itavaana na Eintracht Frankfurt, nao Valencia watakutana na Villareal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |