Kipigo cha bao 1-0 ilichokipata jumatano usiku kinamuweka kocha huyo katika nafasi finyu ya kusonga mbele ingawa amedai ana kikosi imara kinachoweza kubadili matokeo na kufanya maajabu katika mchezo huo utakaopigwa wiki ijayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |