Costa alitumia lugha hiyo baada ya kutokubaliana na maamuzi ya mwamuzi huyo, akilalamika kuchezewa faulo ila kutokana na kutoa lugha chafu alijikuta akizawadiwa kadi nyekundu dakika ya 28 na kutolewa nje ya uwanja. Madrid ilipoteza mchezo huo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |