Kenya na Shirika la Mpango wa Mazingira la Umoja wa Mataifa UNEP zimesaini makubaliano ya kusaidia kuongeza eneo la misitu, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuilinda nchi hizo dhidi ya uharibifu mbalimbali wa mazingira. Mradi huo unaoitwa kampeni ya "Kuifanya Kenya Rangi ya Kijani" utahakikisha miti milioni 50 inapandwa kuanzia mwezi Mei.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |