Spika ametaja hatua hizo kuwa ni serikali lazima iendelee kuweka mazingira mazuriya sera ambazo zitawafanya wafanyibiashara wadogo na wa kati na viwanda vinavyosindika mazao ya kilimo kukua na kustawi. Aidha aliongeza kwa kusema kuwa wazalishaji wadogo wanahitaji msaada kuwawezesha kushindana katika soko la ndani, kikanda na kimataifa.
Nyingine ni upatikanaji dhaifu wa huduma za fedha kwa muda mrefuzimedumaza maendeleo vijijini nchini Tanzania.
Hatua ya nne ni uwekezaji katika utafiti wa kilimo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |