Rais Tshisekedi amesema, Mazembe ni moja ya timu kubwa barani Afrika, hivyo wananchi wa DRC wanapaswa kuipenda na kuwa wanajitokeza kwa wingi kwenda kuishangilia inapocheza kwani inawakilisha nchi hiyo.
Amewataka mashabiki nchini humo kuiga mfano wa mashabiki wa nchini Tanzania, wanavyojitokeza kusapoti timu zao. TP Mazembe itakutana na Esperance ya Tunisia Jumamosi hii mjini Tunisia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |