Rwanda imepangwa kundi A pamoja na Tanzania, Zimbabwe, Nigeria na Msumbiji, huku kundi B likiwa na timu za Uganda, Kenya, Namibia na Sierra Leone. Michuano ya ufunguzi itafanyika Mei 5, Rwanda itacheza mchezo wake wa pili Mei 8 na Msumbiji, na Mei 9 itakutana na Zimbabwe kabla ya kukutana na Tanzania Mei 11.
Michuano ya kombe la dunia ya Kriketi kwa wanawake itafanyika Februari 21 hadi Machi 8 mwakani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |