Wachezaji wa Yanga jana walifika mazoezini asubuhi lakini hawakufanya mazoezi wakishinikiza kulipwa mishahara yao. Zahera amefunguka kuchukizwa na kitendo hicho, aidha amepiga mkwara kuwa, wachezaji ambao leo hawataenda mazoezini atawafukuza moja kwa moja kwasababu hawana nia ya kuichezea klabu hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |