Papy alirejeshwa kwenye kikosi cha timu ya taifa hivi karibuni baada ya miaka mitatu kukosekana na jina lake likiwepo katika kikosi kitakachokwenda nchini Misri kwenye michuano hiyo ya AFCON.
Licha ya kuonywa na daktari kuhusu matatizo yake ya moyo, Papy aliendelea kusakata kabumbu hadi jana mauti yalipomkuta baada ya kuzimia wakati akiichezea klabu yake Malanti Chiefs nchini Eswatini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |