Liverpool wametoa jumla ya wacheza wanne ambao ni Virgil van Dijk, Sadio Mane, Robertson na Alexander Arnold wakati Man City wakiwa wametoa wachezaji wengi zaidi Sergio Aguero, Raheem Sterling, Benardo Silva, Fernandinho, Laporte na Ederson.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |