Mwenyekiti wa chama cha madereva na wamiliki wa pikipiki Mkoa wa Dar es salaam (CMPD) Michael Masawe amesema chama hicho kimeanza mchakato wa kufungua benki kwaajili ya madereva pikipiki maarufu kama bodaboda. kila dereva wa pikipiki atatoa Sh.500 kila siku kwaajili ya kuhifadhiwa kwenye benki hii ili itasaidia baadaye kupata mkopo nafuu na kuweka akiba kwaajili ya kesho yao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |