Nditiye anasema kwamba matarajio ya serikali ni kuwa ujio wa ndege hizo mbili utawezesha kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) kuwa na ndege za kutosha na kutoa huduma za usafiri wa anga kwa ufanisi na tija. Aliongeza kuwa ATCL itakuwa na mtandao wa safari mikoa mingine na safari kikanda na kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |