Wizara ya Nishati imesemakazi ya kutandaza mabomba ya gesi kwa ajili ya matumizi ya majumbani kwa mkoa wa Lindi, inatarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Hii ni kauli yake Waziri wa Nishati Dk. Medard Kalemani, alipokuwa akijibu maswali wa wabunge hiyo jana.
Waziri alisema kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha wananchi wanafurahia rasilimali inayopatikana katika eneo lao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |