Kulingana na ripoti ya utafiti uliofanywa na Twaweza, takriban asilimia 79 ya Waganda wanasema kwamba huduma za pesa kwa simu ya mkono imekuwa ghali mno.Kulingana na ripoti hiyo, ushuru unaotozwa watumiaji wa huduma hii ni ya juu sana na hivyo kuwahujumu wananchi wa kiwango cha chini.
Mwaka uliopita, serikali ya Uganda iliongeza ushurukwa asilimia 0.5 kwa huduma za pesa kwa simu ya mkono kutoka asilimia 10 hadi 15. Kufuatia ongezeko hili, kampuni za kutoa huduma hizi zimeandikisha matokeo duni kwa kukosa wateja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |