Rais Xi Jinping wa China leo ametoa salamu za pole kwa rais Vladimir Putin wa Russia kutokana na ndege ya Russia iliyotua kwa dharura kwenye Uwanja wa Ndege wa Sheremetyevo huko Moscow, na kusababisha vifo vya watu wengi.
Kwenye salamu hizo rais Xi amesema kwa niaba ya serikali na watu wa China, ametoa salamu za maombolezo kutokana na watu waliofariki na kutoa salamu za pole waliojeruhiwa, na salamu za rambirambi kwa wafiwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |