Kiwango hicho ndicho kiwango cah juu ambacho benki za kibiashara huwekeza fedha zao katika benki kuu.
Hatua hii, ilitangazwa na Gavana wa Benki Kuu, John Rwangombwa, jana, muda mfupi baada ya mkutano wa Kamati ya Fedha.
Kiwango hicho kilirekebishwa mnamo Desemba 2017 kutoka asilimia 6, ili kuhamasisha taasisi za fedha za mitaa kupunguza viwango ambavyo vinatoa mikopo kwa umma.
Kupungua kwa kiwango cha kukopa fedha itajenga hali ambayo mabenki zitatengeneza mapato mengi kwa kuwekeza na sekta binafsi ikilinganishwa na wanapokuwa wakiwekeza na benki kuu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |