Mkurugenzi Mtendaji Joshua Oigara, ambaye alikuwa akizungumza na waandishi wa habari, hakufunua utambulisho wa benki wanapanga kununua.
Benki ya KCB pia ina mpango wa kufungua ofisi ya mwakilishi nchini China, ili kutumia fursa za kuongezeka kwa viungo vya biashara kati ya Afrika Mashariki na China,amsem.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |