• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Serikali ya Uganda iko katika mchakato wa kurekebisha sheria za kikoloni kuruhusu uzalishaji wa bangi kwa ajili ya dawa

    (GMT+08:00) 2019-05-07 19:57:15
    Serikali ya Uganda iko katika mchakato wa kurekebisha sheria za kikoloni zinazozuia uzalishaji wa Bangi, kuruhusu mstari mpya wa wawekezaji ambao una uwezekano wa kubadili uchumi wa nchi, waziri wa kilimo Christopher Kibazanga amesema.

    Waziri amesema tayari, timu ya serikali inaandaa karatasi ya baraza la mawaziri ambalo litaelekeza majadiliano ya uzuri na ubaya wa kuzalishaji wa kibiashara wa bangi, kabla ya uamuzi wa mwisho.

    Kwa sasa, uzalishaji na matumizi ya bangi na bidhaa zake ni kinyume cha sheria nchini Uganda, baada ya kufutwa na serikali ya kikoloni mwaka 1902.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako