Taarifa iliyoptolewa na bodi inayosimamia michezo hiyo mwanzoni mwa mwezi imesema ni marufuku kutanganza tangazo lolotye linalohamamsisha kamari katika televesheni, redio au katika gazeti.
Bodi hiyo imesema lengo la hatua hiyo ni kuikinga jamii kutikana na athari za michezo hizo, hasa vijana .
vijana wamefikia hatua ya kuacha kujishughulisha na kazi badala yake wamejiingiza katika michezo hiyo.
Na kuzembea katika kuinua uchumi wa nchini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |