Hakuna mwanariadha yeyote duniani au kwenye historia ya mbio hizo zilizoanzishwa karne zilizopita amewahi kutimka chini ya muda wa saa 2:00
Licha ya kuwa rekodi hiyo haitambuliwi na shirikisho la riadha duniani (IAAF) kutokana na vigezo vyake.
Kipchoge amebainisha kuwa, endapo atafanikiwa kuweka rekodi hiyo, itakuwa ni jambo kubwa katika taaluma yake na kuwa daima historia itamkumbuka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |