Mara baada ya kurejea, mwenyekiti wa klabu hiyo Ambrose Rachier aliitisha kikao na waandishi wa habari na kueleza kuwa, wachezaji hao walifanya makusudi kuweka picha mitandaoni ili kuchochea hisia za huruma na kutoa taswira kuwa wanateseka. Hata hivyo, Oktay amewatetea wachezaji hao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |