Rais wa ligi kuu ya Uhispania Javier Tebas amesema iwapo UEFA itang'ang'ania kuendelea na mageuzi hayo yasiyohitajika, ana uhakika kesi yoyote itakayofunguliwa mahakamani itafanikiwa.
Mabadiliko kwenye michuano ya klabu ya Ulaya yamegubikwa na utata baada ya rais wa chama cha vilabu vya Ulaya (ECA) Andrea Angelli kuwasilisha mapendekezo ya mfumo wa ligi moja ya Ulaya ambao kwa kiasi kikubwa utapunguza idadi ya timu zinazofuzu kutoka ligi za nchi wanachama.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |