Zulficar ni miongoni mwa waafrika wawili walioteuliwa na FIBA kusimamia mashindano hayo yanayoanza Agosti 31 hadi Septemba 15 hapa nchini China.
Upande wa Afrika, Zulficar na mwenzake toka Afrika Kusini ndio wamepata nafasi hiyo huku Amerika, Ulaya na Asia kila moja ikitoa makamisaa wawili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |