Koech ameeleza kwamba kinachowapa matumaini zaidi ni kuwa, mazoezi yamefanyika vizuri bila kuwa na majeruhi. Kikosi cha wanariadha wa Kenya kinachoshiriki mashindano hayo kinajumuisha wanariadha 24 na maafisa 9.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |