Mwenyekiti wa shirikisho la mchezo huo nchini humo Bashir Ansasira amesema, mashindano hayo yanashirikisha timu kutoka Kenya, Botswana, Namibia, Nigeria, Ghana na wenyeji Uganda.
Jumla ya wachezaji 16 wameitwa kuunda kikosi cha maangamizi cha timu hiyo. Huku nahodha wa timu hiyo, Roger Mukasa amewahakikishia waganda kuwa timu hiyo itafanya vizuri na kuibuka washindi licha ya michuano hiyo itakuwa migumu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |