India inapanga kurusha chombo cha pili cha kuchunguzaleleza sayari ya mwezi cha Chandrayaan-2 Julai 9 hadi 16 mwaka huu. Chombo hicho chenye uzito wa tani 3.8, ambacho kitabeba zana 14 za utafiti, kinatarajiwa kutua kwenye ncha ya kusini ya sayari ya mwezi Septemba sita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |