Kwasasa vinara wa ligi hiyo ni Simba ambao wanaongoza kwa kuwa na alama 81 baada ya kucheza mechi 32, Yanga wanashika nafasi ya pili wakiwa na alama 80 katika michezo 35 ambazo ni sawa na Azam iliyo katika nafasi ya tatu kwa alama 68.
Mchezo wa mzunguko wa kwanza, Simba waliibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika uwanja wa Taifa jijini Dar. Leo je Azam itapindua matokeo?
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |