• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Bei ya maharage ya soya ya Marekani yafikia kiwango cha chini katika miaka 10 iliyopita kutokana mgogoro wa kibiashara

    (GMT+08:00) 2019-05-14 08:37:12

    Bei ya maharage ya soya kwa mauzo ya baadaye kwenye Bodi ya biashara ya Chicago imefikia kiwango cha chini zaidi katika kipindi cha zaidi ya miaka 10 iliyopita, kutokana na wasiwasi wa wafanyabiashara kuhusu kupamba moto kwa mgogoro wa kibiashara kati ya Marekani na China. China imetangaza kuwa itaongeza kiwango cha ushuru dhidi ya baadhi ya bidhaa za Marekani kuanzia Juni mosi. Uamuzi huo umekuja baada ya Marekani kuongeza ushuru dhidi ya bidhaa za China zenye thamani ya dola bilioni 200 kutoka asilimia 10 hadi asilimia 25 kuanzia Mei 10.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako