Mbali na ushindani uliokuwa katika mchezo huo, vita kali ilikuwa baina ya beki wa Azam FC Aggrey Morris aliweza kumkaba vilivyo mshambuliaji wa kimataifa wa Simba raia wa Rwanda Meddie Kagere.
Ligi hiyo inaendelea leo kwa mchezo kati ya Yanga na Ruvu Shooting, Yanga ikishinda mchezo wa leo itawashusha watani wao wa jasi Simba kutoka kileleni mwa ligi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |