United imemaliza msimu huu ikiwa nafasi ya sita na imetofautiana pointi 32 na Manchester City ambao ni mabingwa msimu huu.
Shearer ameeleza kuwa, Pogba anaweza kuondoka Man U msimu huu lakini itaweza kuwa ngumu kwake kuweza kulinda kiwango chake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |