Man City msimu huu wametwaa kombe wakiwa na tofauti ya alama moja na Liverpool.
Wakati huohuo, uongozi wa timu ya Brighton & Albion umemtimua kocha wake Chris Hughton siku moja baada ya kufungwa na Manchester City licha ya kuinusuru timu hiyo kushuka daraja msimu huu.
Mwenyekiti wa klabu hiyo, Tony Bloom kwenye taarifa yake ameeleza, Hughton amefanya kazi nzuri kwa miaka minne iliyopita hata hivyo wamelazimika kuachana nae.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |