Ushindi huo unaifanya Yanga ifikishe alama 83 baada ya kucheza mechi 36, sasa inawazidi alama moja watani wao wa jadi Simba SC ambao hata hivyo wana mechi tatu mkononi.
Bao pekee la Yanga lilifungwa na mchezaji wa kimataifa wa DRC Pappy Tshishimbi dakika ya 15 ya mchezo.
Mchezo mwingine ulikuwa kati ya Mwadui FC imelazimishwa sare ya goli 3-3 na jirani zao Mbao FC.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |